Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Isa Rashidi, maarufu Hamidu, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha kilogramu 75.15 za dawa za kulevya aina ya mirungi.

Back to Home
Atupwa jela miaka 30 kwa kusafirisha kilo 75 za mirungi
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
