Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amekagua utekelezaji wa Mradi wa Maji katika vijiji vya Endamagay na Gidaboshka, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, unaotarajiwa kuwapatia huduma ya maji safi na salama wakazi 3,766 wa vijiji hivyo na maeneo jirani.

Back to Home
Aweso atoa maagizo mradi wa maji Babati
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
