Mkazi wa Kijiji cha Isango, Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Jackline Mteresa (18), amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa na baba yake mdogo kwa tuhuma za kuchelewa kurejea nyumbani baada ya kwenda kwenye sherehe ya tohara.

Back to Home
Binti auawa kwa madai ya kupigwa na baba yake mdogo, kisa sherehe ya tohara
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
