Wakati Watanzania wanaowekeza kwenye dhamana za Serikali ikiwa ndogo ikilinganishwa idadi ya Watanzanaa, Benki kuu ya Tanzania (BoT) imezindua mfumo wa ‘Sovereign Yield Curve’ utakaosaidia wawekezaji kuona mwenendo wa faida kwenye dhamana hizo kabla ya kuamua kuwekeza.

Back to Home
BoT yaja na mfumo kuongeza wawekeza dhamana za Serikali
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
