Jumla ya taasisi 54 za umma zinatarajiwa kuwasilisha taarifa za utendaji wa uwekezaji mbele ya kamati za kudumu za Bunge kwa kipindi cha wiki tatu, ili kuwezesha uchambuzi wa thamani ya mitaji ya umma, utendaji wa taasisi na utekelezaji wa mipango yao ya kimkakati.

Back to Home
Bunge la Tanzania kutathimini uwekezaji wa taasisi 54 za umma
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
