Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dk Pius Chaya ameiagiza Wizara ya Katiba na Sheria kuweka wazi kumbukumbu za mafanikio ya huduma za msaada wa kisheria zinazotolewa kwa wananchi hasa waliopo vijijini, ili kuonyesha matokeo yaliyopatikana, changamoto zilizopo na maeneo yanayohitaji maboresho.

Back to Home
Chaya: Mafanikio msaada wa sheria yawekwe wazi
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
