Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imepeleka Sh1.95 bilioni kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo inayolenga kuboresha sekta za elimu na usalama, ikiwamo kukamilisha ujenzi wa shule za sekondari za ghorofa na kituo cha polisi.

Back to Home
Dar yapeleka Sh1.95 bilioni kukamilisha shule, kituo cha polisi
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
