Mkuu wa Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, Mbarak Batenga amewaagiza madiwani kufanya tathmini ya hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika maeneo yao, ikiwemo maeneo ya makazi ya wananchi na yanayofanyika shughuli za uchimbaji wa dhahabu.

Back to Home
DC Batenga atoa agizo kwa madiwani kutatua kero ya maji
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
