Wakulima wa mahindi nchini wametahadharishwa dhidi ya kutumia mbegu zisizothibitishwa ubora huku wakihimizwa kuhakikisha wanahakiki mbegu kabla ya kupanda ili kulinda uwekezaji wao na kuongeza nafasi ya kupata mavuno bora.

Back to Home
Wakulima waonywa kutumia mbegu zilizothibitishwa
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
