Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Kitengo cha Usalama cha Shirika la Mawasiliano nchini (TTCL), limewakamata watu 11 kwa tuhuma za kujihusisha na mtandao wa uharibifu, wizi, na hujuma dhidi ya miundombinu ya mawasiliano ya simu na intaneti ya TTCL.

Back to Home
Hujuma miundombinu TTCL, 11 mbaroni Dar
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
