Wakati matumizi ya kuni na mkaa yakiendelea kuwa juu katika maeneo ya vijijini, Shule ya Sekondari Kalangalala mkoani Geita imepokea kilo 1,500 za mkaa mbadala hatua inayolenga kupunguza utegemezi wa kuni na kuongeza matumizi ya nishati safi.

Back to Home
Shule ya Kalangalala kutumia nishati safi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
