Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili Afrika Mashariki (Kakama), Dk Caroline Asiimwe ametoa wito kwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo kuimarisha ushirikiano katika utafiti, elimu na maendeleo ya teknolojia ili kuhakikisha Kiswahili kinakuwa sehemu ya mapinduzi ya akili unde na teknolojia za kidijitali.

Back to Home
Kakama yahimiza ushirikiano wa tafiti kukuza maendeleo ya Kiswahili kidigitali
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
