Kesi inayowakabili washtakiwa 23, ambao ni wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka wilaya za Nyamagana na Ilemela mkoani Mwanza, wanaoshtakiwa kwa kosa la kupanga njama za kutekeleza vitendo vya kigaidi, imeahirishwa hadi Jumatatu, Agosti 17, 2026.

Back to Home
Kesi watuhumiwa 23 wa ugaidi yapigwa kalenda
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
