Kiongozi wa upinzani Zambia, Brian Mundubile amesema atapinga mahakamani matokeo ya uchaguzi wa urais nchini humo, akidai kulikuwa na udanganyifu katika upigaji kura uliompa ushindi Rais Hakainde Hichilema kwa muhula wa pili wa uongozi.

Back to Home
Kiongozi wa upinzani Zambia kupinga matokeo ya uchaguzi mahakamani
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
