Sekta ya madini mkoani Mara inatarajiwa kukua na kuongezeka thamani kufuatia uwekezaji wa zaidi ya Sh14 bilioni uliofanywa na wawekezaji wazawa katika sekta hiyo.

Back to Home
Kiwanda cha kusafisha dhahabu kwa viwango vya kimataifa kujengwa Musoma
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
