Siku moja baada ya Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kumwachia kwa dhamana, Wakili Peter Madeleka ameeleza namna alivyokamatwa katika viunga vya Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi eneo la Mikocheni.

Back to Home
Madeleka aeleza namna alivyokamatwa Mahakama Kuu
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
