Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi limeagiza Kamati ya Fedha, Mipango na Uchumi kufanya ukaguzi wa dharura katika mgodi wa makaa ya mawe wa Magamba baada ya kuibuka maswali kuhusu uhalisia wa uzalishaji na mapato yanayokusanywa kutokana na shughuli za mgodi huo.

Back to Home
Madiwani Mbozi waagiza ukaguzi wa dharura mgodi wa Magamba
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
