Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka ameziagiza halmashauri zote za mkoa huo kuhakikisha zinawatambua wabunifu wote kwa kuwawezesha kupata fursa ya mikopo inayotolewa na serikali kwa ajili ya kuwainua kiuchumi na kuwapatia mitaji ya kujiendesha.

Back to Home
RC Njombe aagiza halmashauri kuwasaidia wabunifu kupata mikopo ili kuwainua kiuchumi
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
