Majeruhi wawili kati ya watano waliokuwa wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru baada ya ajali ya basi la Kampuni ya Kandahari na lori iliyoua watu sita wilayani Monduli, mkoani Arusha, wameruhusiwa baada ya hali zao kuimarika huku watatu wakiendelea na matibabu.

Back to Home
Majeruhi wawili wa ajali ya Monduli waruhusiwa hospitalini
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
