Zaidi ya wananchi 75,000 kutoka vijiji 16 Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wanatarajia kuondokana na adha ya kutembea zaidi ya kilomita 30, kwenda na kurudi, kufuata huduma za afya katika hospitali ya wilaya hiyo kufuatia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Kukirango.

Back to Home
Wananchi 75,000 Butiama kunufaika na mradi wa kituo cha afya
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
