Mamia ya waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), viongozi wa dini, ndugu na marafiki leo Julai 29, 2026 wamejitokeza katika Usharika wa Boko, Dayosisi ya Pwani na Mashariki, jijini Dar es Salaam kumuaga aliyekuwa mchungaji wa KKKT Dayosisi ya Mwanga, Mchungaji Silvanus Msuya, aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 44.

Back to Home
Mamia wajitokeza kumuaga Mchungaji Msuya Dar
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
