Serikali imezitaka hospitali zote za rufaa za mikoa na kanda nchini kuanzisha vitengo maalumu vya uchunguzi na matibabu ya saratani ili kusogeza huduma karibu na wananchi na kupunguza ongezeko la vifo vinavyotokana na ugonjwa huo.

Back to Home
Serikali yaziita hospitali kuanzisha vitengo vya saratani
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
