Huzuni, machozi na nyimbo za matumaini ya Kikristo vilitawala Usharika wa Boko wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani, leo Jumatano, Julai 29, 2026, wakati mamia ya waumini, viongozi wa dini, ndugu na marafiki walipokusanyika kumuaga aliyekuwa Mchungaji wa KKKT Dayosisi ya Mwanga, Silvanus Abel Msuya (44).

Back to Home
Mamia wamuaga Mchungaji Msuya, ushuhuda wa maisha yake wagusa wengi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
