Katika hatua inayotajwa kuwa ukombozi mpya kwa watu wenye ulemavu, Jumuiya ya Watu Wenye Ulemavu ya Norway (NAD Zanzibar) na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, zimetia saini hati ya makubaliano yenye lengo la kuleta mageuzi ya kimkakati katika kulinda na kuendeleza haki za kundi hilo.

Back to Home
Matumaini mapya kwa watu wenye ulemavu Zanzibar
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
