Tanzania imeingia katika hatua mpya ya kihistoria katika sekta ya nishati. Baada ya kukamilika na kuzinduliwa rasmi kwa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115, nchi sasa ina uwezo mkubwa wa umeme.

Back to Home
MBEGU YA UCHUMI: Kugeuza umeme wa ziada kuwa fursa ya kiuchumi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
