Serikali imeanza utekelezaji wa mkakati wa kuifanya Wilaya ya Mbeya kuwa kitovu cha uzalishaji wa shayiri nchini kwa kusambaza zaidi ya tani 10 za mbegu bora kwa wakulima kwa ruzuku ya asilimia 100.

Back to Home
Mbeya yageukia mapinduzi ya kilimo cha shayiri, uzalishaji malighafi za viwandani
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
