Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), Mpoki Thomson amesema ni muhimu kuwa na mazingira yatakayowezesha vyombo vya habari kuendana na mabadiliko ya teknolojia, huku akisisitiza umuhimu wa kulinda uhuru wa ubunifu na kuimarisha upatikanaji wa taarifa kwa wananchi.

Back to Home
MCL: Jukumu la vyombo vya habari ni kuwasemea wananchi, kuchochea uwajibikaji
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
