Kwa miaka mingi, katika jamii yetu, kijana anaposema anataka kuwa mwanamichezo, mara nyingi huulizwa: “Utasoma lini ili upate kazi ya maana?” Mtazamo huu unaonyesha namna ambavyo bado tunauona mchezo kama burudani zaidi kuliko fursa ya kiuchumi.

Back to Home
Michezo kama kazi kwa vijana wa Tanzania
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
