Mkuu wa Mkoa wa Geita, Alexander Mnyeti, ameamuru Toyota Land Cruiser V8 ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato liwe mbadala wa ‘ambulance’ kwa muda kusafirisha wagonjwa wa kituo cha afya Muganza, baada ya kukosekana kwa gari la wagonjwa kwa zaidi ya mwezi mmoja.

Back to Home
Mnyeti aagiza V8 ya mkurugenzi kubeba wagonjwa Muganza
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
