Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dk Batilda Burian, amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo ambao hawajawasilisha michango ya wafanyakazi wao katika Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), kuhakikisha wanalipa kabla ya Desemba mwaka huu.

Back to Home
RC Tanga aagiza wakurugenzi kulipa madeni PSSSF kabla ya Desemba
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
