Zaidi ya megawati 2115 za umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), zinatarajiwa kuanza kusambazwa nchini kufuatia kukamilika kwa asilimia 94 mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze kwenda Dodoma.

Back to Home
Mradi wa njia ya umeme Kilovolti 400 Chalinze –Dodoma wafikia Asilimia 94
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
