Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amezindua mradi wa nyumba za makazi wa Aman Residency wenye thamani ya Dola 17 milioni (Sh44.97 bilioni), Kizimkazi, Kusini Unguja akisema Serikali itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji.

Back to Home
Mwinyi azindua mradi wa Sh45 bilioni Kizimkazi
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
