Sekta ya biashara zisizo rasmi imeendelea kuwa uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania kwa miongo mingi. Kila siku maelfu ya Watanzania hujipatia kipato kupitia biashara ndogondogo kama vile uuzaji wa vyakula, biashara za mitaani, usafirishaji, ushonaji, useremala na shughuli nyingine nyingi. Licha ya mchango wake mkubwa katika ajira na kupunguza umaskini, sehemu kubwa ya biashara hizi bado zinafanya kazi nje ya mfumo rasmi wa uchumi.

Back to Home
Namna ya kukuza biashara zisizo rasmi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
