Mashahidi 22 na vielelezo 39 vinatarajiwa kutolewa na upande wa mashtaka katika kesi ya kusafirisha kilo 90 za dawa za kulevya aina ya bangi, inayomkabili mshtakiwa Jaribu Twaha na wenzake saba.

Back to Home
Mashahidi 22 kutoa ushahidi katika kesi ya wanaodaiwa kusafirisha kilo 90 za bangi
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
