Washtakiwa katika kesi ya wizi wa dawa na vifaa tiba inayowakabili watumishi sita wa Bohari ya Dawa (MSD), wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuifuta kesi hiyo na kuwaachia huru, wakidai kuwa Jamhuri imeshindwa kukamilisha upelelezi kwa wakati.

Back to Home
Wanaodaiwa kuisababishia MSD hasara ya Sh14 bilioni waomba kufutiwa kesi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
