Kamishna wa Kamisheni ya Polisi Jamii, Alex Mkama, amewataka wawekezaji wa sekta ya madini kuendelea kushirikiana kwa karibu na Jeshi la Polisi ili kuimarisha usalama wa migodi, kulinda haki za binadamu na kujenga mazingira salama kwa wananchi wanaoishi katika maeneo yanayozunguka shughuli za uchimbaji.

Back to Home
Polisi, kampuni za uchimbaji madini zajadili usalama migodini
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
