Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amefanya mazungumzo na Rais na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Aliko Dangote hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa uwekezaji kati ya Tanzania na kampuni hiyo kubwa ya viwanda barani Afrika.

Back to Home
Profesa Kitila, Dangote wajadili uwekezaji Tanzania
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
