Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu raia 14 wa Burundi kifungo cha miezi 12 jela kila mmoja au kulipa faini ya Sh500,000 kila mmoja baada ya kukiri kosa la kuishi nchini bila kibali halali.

Back to Home
Raia wa Burundi 14 wahukumiwa kulipa faini ya Sh500,000 kila mmoja
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
