Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Jumanne Sagini ametangaza mfumo maalumu wa kuzigawa halmashauri za wilaya za mkoa huo katika makundi mawili ya pembe tatu kwa lengo la kuongeza msukumo wa maendeleo na kuchochea utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

Back to Home
RC Sagini aja na pembe tatu mbili, akijitwisha zigo la migogoro ya ardhi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
