Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Queen Sendiga amewataka wajumbe wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Mvomero kutumia dhamana waliyopewa kutenda haki, kuzingatia sheria na kutumia busara na hekima katika kusikiliza na kuamua migogoro ya ardhi.

Back to Home
RC Sendiga awataka wajumbe wa Baraza la Ardhi kutenda haki
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
