Mama huyo wa watoto wawili alijikuta akiingia katika chumba hicho baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere Juni 20, 2025, akitokea nchini India alikokwenda kupatiwa matibabu.

Back to Home
Safari ya mama aliyepambania uhai wake ICU kwa siku 339
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
