Wakati vijana 60 wakihitimu mafunzo maalumu ya siku 14 mkoani Ruvuma kupitia mradi wa “Dumisha Amani” unaolenga kuwajengea ujuzi wa ufundi stadi, uzalendo na amani, Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) limetangaza kufadhili ujenzi wa Kituo cha Vijana (Youth Centre) kitakachogharimu zaidi ya Sh42 milioni ili kuhakikisha uendelevu wa ujuzi huo.

Back to Home
UNDP kufadhili ujenzi wa kituo cha mafunzo kwa vijana
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
