Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Uhusiano, Deus Sangu, amewataka viongozi wa mikoa ya Kanda ya Kusini kutumia Maonyesho ya Nane Nane kuhamasisha jamii kula na kutumia bidhaa za korosho ili kuongeza thamani ya zao hilo na kuchochea ukuaji wa uchumi.

Back to Home
Sangu: Tushawishi jamii kula, kutumia bidhaa za korosho
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
