Mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka minne kati ya wananchi 880 waliokuwa wakidai fidia ya kupisha kwenye chanzo cha maji, Chamwino umefikia mwisho kwa Serikali kulipa Sh4.9 bilioni.

Back to Home
Sh4.9 bilioni zalipwa kwa waliopisha mradi wa maji Chamwino Ikulu
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
