Kwa muda mrefu, eneo la Shekilango, pembezoni mwa Barabara ya Morogoro kuelekea Magomeni, Dar es Salaam, lilizoeleka kuona msongamano wa mabasi ya kampuni mbalimbali yakiwa yameegeshwa na kupakia abiria wanaosafiri kwenda mikoa tofauti nchini. Sasa eneo hilo limebadilika baada ya mabasi hayo kuondolewa.

Back to Home
Shekilango ilivyopata sura mpya baada ya mabasi kuondolewa
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
