Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mbeya (Mbeya Girls) wilayani Kyela mkoani Mbeya wamepata nafuu ya upungufu wa vitanda baada ya Chama Kikuu cha Ushirika Kyela (Kyecu) kukabidhi vitanda 50.

Back to Home
Shule ya Wasichana Mbeya yakabidhiwa vitanda 50
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
