Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman anapewa nafasi kubwa katika uteuzi wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar unaotarajiwa kufanywa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, wakati wowote kuanzia sasa.

Back to Home
SUK yanukia, ACT ikipendekeza jina la Makamu wa Kwanza wa Rais
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
