Serikali imeziagiza taasisi za umma, binafsi na za dini kutenga na kujenga maeneo maalumu ya kunyonyeshea na kusimamia makuzi ya watoto kwa ajili ya wafanyakazi na wateja wanaofika kupata huduma ili kuweka mazingira rafiki ya mawasiliano ya mama na mtoto katika maeneo hayo.

Back to Home
Taasisi zahimizwa kutenga maeneo ya kunyonyeshea watoto
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
