Wananchi wametakiwa kuondokana na dhana potofu ya kuitazama tiba asili kama uchawi, badala yake waitambue kuwa ni sehemu ya maarifa ya afya yanayotumika kuchunguza, kutibu na kusaidia kutatua changamoto mbalimbali za kiafya.

Back to Home
Tiba asili si uchawi, wananchi waelimishwa
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
