Ili kuhakikisha makundi yote yanashiriki na kunufaika na fursa zinazotokana na uwekezaji nchini, Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum Tanzania (Tiseza) imeingia makubaliano na Ella Foundation kutumia mifuko inayozalishwa na watu wenye ulemavu wa kusikia kama zawadi kwa wawekezaji wanaofika nchini.

Back to Home
Tiseza yawatafutia soko wenye ulemavu wa kusikia
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
